Jinsi ya kujaza fomu ya maombi ya sensa 2022 step by step

77

Jinsi ya kujaza fomu ya maombi ya sensa 2022. This article will show you step by step on how to fill the sensa application form(Fomu ya maombi ya sensa 2022), through ajira.nbs.go.tz/ajira za sensa 2022. Through the video below try to show you how the system work and how to the fill the application form. Please follow all procedures as a explained Below

insi ya kujaza fomu ya maombi ya sensa 2022
SENSA JOBS

Ajira za sensa 2022

Read Also
1 of 233

The Government of the United Republic of Tanzania, is preparing to Population and Housing Census which will be held on 23 August 2022.

To achieve In this census, the Government is announcing temporary vacancies for CORRESPONDENTS AND CENSION MANAGERS / Makarani wa sensa 2022 for Tanzanians with the right motives and qualifications as specified in this announcement for the Vacancy Below

  1. Census Clerk
    An applicant for this position, if elected, will be required to attend a training course clerks where after training if he succeeds he will have to return to the area originated or assigned to any other location.
  2. Census Administrator (CONTENT SUPERVISOR)
    An applicant for this position, if elected, will be required to attend a training course
    Census supervisors who, after successful training, will be required to attend Census clerk training and then return to their place of origin or arranged for any other location.
  3. IT SUPERVISOR
    An applicant for this position, if elected, will be required to attend a training course Census supervisors where after training if successful will be required attend Census clerk training then return to the area of origin or arranged for any other location

Step by step Jinsi ya kujaza fomu ya maombi ya sensa 2022

This Video shows you step step on how to fill the application form for sensa Jobs (ajira za sensa 2022)/ The sensa fomu is available Bonyeza hapa kujaza fomu

Watch the Video Below on How to Fill Sensa Fomu

TO APPLY CLICK HERE

Ads

77 Comments
  1. Consolata Maurilio Sanga says

    Application for Karan wa sensa

    1. SAKINA Ame says

      Naitwa SAKINA Ame nimejaza fomu ya sensa lkn nilikosea herufi moja tu katika email yangu na iyo fomu imeshafika kunakohusika ila siwez kupokea SMS kutokana nahilo tatizo sasa nifanyeje

    2. Amon says

      Nimejaza form ilaa sioni sehemu ya kupakia form no 1 iliyosainiwa nifanyeje

    3. Hilam says

      Habari ndugu me nimejaza taarifa lakn sijapokea mesage ya kupewa pin ya kuendelea na nkitaka kuludia kujaza taarifa upya wanasema barua pepe imeshatumika nfanyej jamani na mda ndo huo unaisha

  2. ERICK says

    I can’t fill form number 1,I don’t know what can I do inoder to fill it

  3. Michael says

    Hello

    1. admin says

      Tuma maombi kwenye link iliyoko kwenye Taarifa hii, ingia ajira.nbs.go.tz

      1. haji lundenga says

        Inakuwaje jinsi ya kuscan vyeti na kuvituma hapo kwa mfumo wa PDF

        1. SIMONI LUCAS MOKIWA says

          Nimejaza taarifa zangu zote kwenye mfumo na nimetuma maombi lakini sijaletewa option ya kupakuwa fomu namba 1 na kwenye email yangu hakuna message yoyote iliyotumwa lakini ninaambiwa namba ya simu imeshatumika,mara namba ya nida imetumika mara namba ya mtihani imetumika,nifanyeje

          1. Amina Mjema says

            Umekosea email hebu angalia vizur jinsi ulivoandika ndo email unayoitumia

        2. Sabra says

          Kam Huna namba ya NIDA means kwamba huwez fanikisha hayo maombi ya sensa

          1. THOBIAS says

            Nimekamilisha maombi yote lakin sasa sinaletewa message yeyote kwenye email yangu na taarifa zimekalija nakili nikijaribu Wana niambia namba ya mtihani wa kidato Cha nne imetumika nacho hitaji kupata form

      2. Lillian says

        Habari ndugu…!
        Nimeshindwa kukamilisha maombi kwa kuwa email niliyoweka sikumbuki password yake na namba niliyotumia kufungulia email account siko nayo. Je ninaruhusiwa kuapply maombi upya na kutumia email nyingine yenye password? Msaada jamaniii

        1. Anjelina Dominick Buhaga says

          Email niliyotumia ilifungwa nifanye nn ili kuweza kurudisha form?

      3. said said says

        Ninashida sana… Nmejaza nanimetuma maombi kabisa lakn nilisahau kuweka namb ya maombi na maomb yang yanaonesh kupokelew lakn pale ambapo ningeandika namb ya maombi imekaa email yang

    2. Waziri Shabani Mussa says

      Mm sijapata fomu,maombi yamekubali ila sijapata famu na pia nikijaribu kuomba tena wananiambia chet cha form four kimetumika naomba msaada nifanyeje? Mana hata kwenye email sijaona sms yoyote

      1. admin says

        Tuma maombi upya tumia email iliyo active,

        1. Ombeni says

          Ukituma tena inaonesha kuwa namba ya mtihani kidato Cha nne imeahatumia

        2. emmanuel chami says

          habari mimi nimefanya maombi nikaletewa sehem ya kupakua form no 1 umeme ukakata na nikatumiwa password kwenye email yangu sasa kila nikijarbu kuingia wanasema incorect password nimerudia kwa umakin zaid ya mara 6 lakn inagoma

          1. admin says

            Bonyeza Link ulotumiwa ndo, afu ucopy password ukakopy aple itakubali

          2. Hamz says

            Tatizo kama langu form yangu Mimi nli cancel baat mby ikapotea

        3. Athu says

          Natuma maombi naambiwa chet kimetumika nifanyaje

      2. Sabra says

        Kama huna namb ya NIDA means kwamba huwez fanikisha hayo maombi???

        1. admin says

          Fata Tangazo linavoelekeza

          1. Ahobokile Adam says

            Adimin mm nimekosea email hadi sasa sijapata nywila nitasaidiwaje

  4. haji lundenga says

    Inakuwaje jinsi ya kuscan vyeti na kuvituma hapo kwa mfumo wa PDF

    1. admin says

      Unaweza kuvipiga pich avizur vyeti vyako afu ukatumia program kama cam scanner au Combined PDF kuscan vyeti vyako, au nenda stationary ukascan

    2. Gabriel Andrew says

      Jaman naomba mnisaidie natafuta fomu namba 1 siipati

  5. Patrick Butaman says

    Asante kwa maelekezo

  6. Faraji mbaraka says

    Nimejaza fom na nimeiaplod na wazamini washa isaini na serikali ya mtaa washaisaini najalibu kuingi kwenye akaunt yangu kila nikiweka pasward na emel wananambia incorrect je napata user name na pasward Tena maaana kwenye emeli yangu sijatumiwa

    1. admin says

      Sasa kama hujatumiwa password unaweka password ipi kolog in

      1. PETRO says

        Nimejaza taarifa zangu kwenye mfumo lakn naambiwa namba angu ya kidato Cha nne imeshatumika kuomba kazi ya sensa.ilihali password kwenye email yangu sijatumiwa.nifanyeje apo. Msaada jamaan

        1. SIMONI LUCAS MOKIWA says

          Nami nina changamoto kama yako tafadhal kama utakuwa umepata ufumbuzi wa swala hili naomba msaada

          1. Jesse jeremiah says

            Nmejaza form ya maombi lakin kwenye kitufe cha pakua Kimefaint kwa hyo hakunajbu lolote lilotokea hata hyo password haijatumwa

        2. king says

          unapojaza index mbele yake ongeza na mwaka wa kuhitim

      2. Grace John says

        Nimepata changamoto ya kupotelewa na cheti cha from four , ila nina cheti cha form six na kitambulisho cha chuo na namba ya Nida, je nitaweza kufanya maombi haya ??

    2. Abas mponzi says

      Application for Karani wa sensa

    3. Josepha Anatory Mtayangulwa says

      Mm nimeshajaza taarifa zote Ila nilipotaka kutuma wananiambia namba yangu imeshatumika kuomba maombi ya sensa kwa hiyo nimekwama sielewi nifanye nn

      1. THOBIAS says

        Nimekamilisha taarifa zote lakini sijapata form namba 1 pia vilevile namba ya mtihani wa kidato Cha nne wananiambia kua imetumika naomba msaada kupata form namba Moja nasijaletewa message yeyote kwenye email yangu

        1. admin says
  7. PETRO says

    Nimejaza taarifa zangu kwenye mfumo lakn naambiwa namba angu ya kidato Cha nne imeshatumika kuomba kazi ya sensa.ilihali password kwenye email yangu sijatumiwa.nifanyeje apo. Msaada jamaan

    1. admin says

      Angalia kwenye email ulotumiwa kama umetumiwa password

      1. steven says

        passorwd me nimetumiwa ila kila nikiingiza inakataaa

    2. Omari says

      Nmekosea email …nikianza kujaza upya namba ya fomu four naambiwa ishatumika nafanyaje msaada please

  8. SUZANA BENARD HENRY says

    nimekosea kujaza mwaka wa kuzaliwa, msaada

  9. SIMONI LUCAS MOKIWA says

    Nimejaza fomu taarifa zote na nimetuma maombi lakini sijaletewa option ya kupakuwa fomu na 1 na katika email yangu hakujatumwa message yoyote, nikijaribu kwa mara ya nyingine naambiwa namba ya simu imeshatumika,namba ya nida imeshatumika,namba ya mtihani kidato cha nne imeshatumika, tafadhar nifanyeje?

    1. admin says
  10. Sabra says

    Kama huna namba ya NIDA huwez fanikisha Hilo zoezi??

  11. hadija says

    Nimeandika email wananiambia sio sahihi wakati ndo nahitumia

    1. Emanuel says

      Nimeshindwa kupata fomu

  12. ELIKANA SANGA says

    mm nnataka kujua Kama mtu ameombea kwao kusimamia zoez la sensa af yeye yuko mbali na usahili nasikia utafanyika hv karibuni, je Kama hatohudhuria kwenye usahili anaweza akapoteza nafas yake ? au Kuna namna ya kufuta maomb hayo na kutuma maombi sehemu nyingine?

  13. Gerald says

    Mm nimejaza form vizue ila sijapata email hi

  14. tina says

    sijapata fom nifanyaje

  15. RICHARD NDOYA says

    Mimi kila nikijaribu kuweka email yangu pamoja na mdhamini naambiwa invalid email ilihali ni emails zipo active hii changamoto na tatua vp asee.

    1. admin says

      Tumia email za gmail.com

  16. SALOME NAONAWELU PETER says

    Nimejaza form lakini sijapata mrejesho katika email yangu link au account nikayotumia kuirudisha form baada ya kuijaza na kugongewa muhuri na mtendaji .nitaipataje hiyo account ? Asante.

    1. admin says

      Cheki kwenye spam box ya email yako

  17. Emma komba says

    Sijapata form no moja…..na password kwenye email yang…..nimejaza Kila kitu…msaada tafadhali

    1. admin says
  18. Mozee says

    Naomba kufahamu format nzuri ya kusevu page nzima moja baada ya kudownload

      1. Lengiteng says

        Mim nashida ya password sijapa

  19. Antonyantidius says

    Jaman Mimi naomba mnisaidie maomb yanatumiwa humu ila bdo cjajua kabsa please mnisaidiee

    1. admin says

      Jiunge kwenye link apo juu, usaidiwe

    2. Hilam says

      jamani hat mm nasubilia password land sijapata tusaidieni jamani

  20. Diana says

    Mbona mimi siwezi kupata fomu namba moja ya sensa ?
    Nimeshajaza taarifa zangu vizuri lakini siwezi kupakua nafanyaje?

  21. Dioniz mathias says

    Me na changamoto ya email yangu kuna herufi moja haionekani imefanya nisipate pasword naombeni maelekezo nifanye nn

    1. Nkwaya says

      Sijajua nilibonyeza wapi maana sehemu ya kupakia fom namba 1 iliyosainiwa siioni na majibu yao ni kwamba maombi yanasubiri fom namba moja iliyosainiwa, msaada tafadhali

  22. TITO JOSEPH says

    mbona na kuna sehemu ya jinsia imeongezeka na inatakiwa ijazwe lakini sehemu ya kuhuisha haionekani?

  23. khalid says

    The application module is so complicated why?

  24. Oigen kamtawa says

    Nimetuma maombi ila fom sijapata wala password, nafanyaje,na kila nikijalibu tuma tena yanakataa

    1. Hilam says

      jamani hat mm nasubilia password lakn aitumie tusaidieni kwa hilo

  25. Joseph Charles Budeba says

    Nimejaza taarifa zangu lakin form no1 yakisainiwa na mtendaji cjapata

  26. Nkwaya says

    Sijajua nilibonyeza wapi maana sehemu ya kupakia fom namba 1 iliyosainiwa siioni na majibu yao ni kwamba maombi yanasubiri fom namba moja iliyosainiwa, msaada tafadhali

  27. Katabalwa says

    Hlw vipi eti majibu yanatolew Kwa mfumo gani?

  28. Hilam says

    Jamani.nimetuma maombi lakn sijapata password na mkitaka kuludia kujaza taarifa upya wanasema barua pepe imeshatumika nfanyej jamani

  29. Said juma says

    Nimeshatuma maombi lakin nilisahau kuweka namb ya maombi baada ya kusainisha kwa mtendaj kwahiyo nafanyaje pale ambapo ningeandika namb yang ya maomb imekaa email yang Sasa tafanyaje

Leave A Reply

Your email address will not be published.

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.