Jinsi ya kujaza fomu ya maombi ya sensa 2022. This article will show you step by step on how to fill the sensa application form(Fomu ya maombi ya sensa 2022), through ajira.nbs.go.tz/ajira za sensa 2022. Through the video below try to show you how the system work and how to the fill the application form. Please follow all procedures as a explained Below

insi ya kujaza fomu ya maombi ya sensa 2022

SENSA JOBS

Ajira za sensa 2022

The Government of the United Republic of Tanzania, is preparing to Population and Housing Census which will be held on 23 August 2022.

To achieve In this census, the Government is announcing temporary vacancies for CORRESPONDENTS AND CENSION MANAGERS / Makarani wa sensa 2022 for Tanzanians with the right motives and qualifications as specified in this announcement for the Vacancy Below

  1. Census Clerk
    An applicant for this position, if elected, will be required to attend a training course clerks where after training if he succeeds he will have to return to the area originated or assigned to any other location.
  2. Census Administrator (CONTENT SUPERVISOR)
    An applicant for this position, if elected, will be required to attend a training course
    Census supervisors who, after successful training, will be required to attend Census clerk training and then return to their place of origin or arranged for any other location.
  3. IT SUPERVISOR
    An applicant for this position, if elected, will be required to attend a training course Census supervisors where after training if successful will be required attend Census clerk training then return to the area of origin or arranged for any other location

Step by step Jinsi ya kujaza fomu ya maombi ya sensa 2022

This Video shows you step step on how to fill the application form for sensa Jobs (ajira za sensa 2022)/ The sensa fomu is available Bonyeza hapa kujaza fomu

Watch the Video Below on How to Fill Sensa Fomu

TO APPLY CLICK HERE

77 comments

Consolata Maurilio Sanga May 7, 2022 - 11:09 am

Application for Karan wa sensa

Reply
SAKINA Ame May 11, 2022 - 1:17 pm

Naitwa SAKINA Ame nimejaza fomu ya sensa lkn nilikosea herufi moja tu katika email yangu na iyo fomu imeshafika kunakohusika ila siwez kupokea SMS kutokana nahilo tatizo sasa nifanyeje

Reply
Amon May 13, 2022 - 9:59 pm

Nimejaza form ilaa sioni sehemu ya kupakia form no 1 iliyosainiwa nifanyeje

Reply
Hilam May 15, 2022 - 7:34 am

Habari ndugu me nimejaza taarifa lakn sijapokea mesage ya kupewa pin ya kuendelea na nkitaka kuludia kujaza taarifa upya wanasema barua pepe imeshatumika nfanyej jamani na mda ndo huo unaisha

Reply
ERICK May 7, 2022 - 11:23 am

I can’t fill form number 1,I don’t know what can I do inoder to fill it

Reply
Michael May 7, 2022 - 5:25 pm

Hello

Reply
admin May 7, 2022 - 5:38 pm

Tuma maombi kwenye link iliyoko kwenye Taarifa hii, ingia ajira.nbs.go.tz

Reply
haji lundenga May 8, 2022 - 7:56 am

Inakuwaje jinsi ya kuscan vyeti na kuvituma hapo kwa mfumo wa PDF

Reply
SIMONI LUCAS MOKIWA May 9, 2022 - 8:24 pm

Nimejaza taarifa zangu zote kwenye mfumo na nimetuma maombi lakini sijaletewa option ya kupakuwa fomu namba 1 na kwenye email yangu hakuna message yoyote iliyotumwa lakini ninaambiwa namba ya simu imeshatumika,mara namba ya nida imetumika mara namba ya mtihani imetumika,nifanyeje

Reply
Amina Mjema May 10, 2022 - 8:02 pm

Umekosea email hebu angalia vizur jinsi ulivoandika ndo email unayoitumia

Sabra May 10, 2022 - 6:00 am

Kam Huna namba ya NIDA means kwamba huwez fanikisha hayo maombi ya sensa

Reply
THOBIAS May 12, 2022 - 6:52 am

Nimekamilisha maombi yote lakin sasa sinaletewa message yeyote kwenye email yangu na taarifa zimekalija nakili nikijaribu Wana niambia namba ya mtihani wa kidato Cha nne imetumika nacho hitaji kupata form

Lillian May 10, 2022 - 3:33 pm

Habari ndugu…!
Nimeshindwa kukamilisha maombi kwa kuwa email niliyoweka sikumbuki password yake na namba niliyotumia kufungulia email account siko nayo. Je ninaruhusiwa kuapply maombi upya na kutumia email nyingine yenye password? Msaada jamaniii

Reply
Anjelina Dominick Buhaga May 11, 2022 - 1:23 pm

Email niliyotumia ilifungwa nifanye nn ili kuweza kurudisha form?

Reply
said said May 17, 2022 - 10:30 am

Ninashida sana… Nmejaza nanimetuma maombi kabisa lakn nilisahau kuweka namb ya maombi na maomb yang yanaonesh kupokelew lakn pale ambapo ningeandika namb ya maombi imekaa email yang

Reply
Waziri Shabani Mussa May 9, 2022 - 8:25 pm

Mm sijapata fomu,maombi yamekubali ila sijapata famu na pia nikijaribu kuomba tena wananiambia chet cha form four kimetumika naomba msaada nifanyeje? Mana hata kwenye email sijaona sms yoyote

Reply
admin May 10, 2022 - 4:45 am

Tuma maombi upya tumia email iliyo active,

Reply
Ombeni May 10, 2022 - 7:25 pm

Ukituma tena inaonesha kuwa namba ya mtihani kidato Cha nne imeahatumia

Reply
emmanuel chami May 11, 2022 - 10:09 am

habari mimi nimefanya maombi nikaletewa sehem ya kupakua form no 1 umeme ukakata na nikatumiwa password kwenye email yangu sasa kila nikijarbu kuingia wanasema incorect password nimerudia kwa umakin zaid ya mara 6 lakn inagoma

Reply
admin May 11, 2022 - 10:13 am

Bonyeza Link ulotumiwa ndo, afu ucopy password ukakopy aple itakubali

Hamz May 12, 2022 - 12:52 am

Tatizo kama langu form yangu Mimi nli cancel baat mby ikapotea

Athu May 12, 2022 - 2:10 pm

Natuma maombi naambiwa chet kimetumika nifanyaje

Reply
Sabra May 10, 2022 - 6:02 am

Kama huna namb ya NIDA means kwamba huwez fanikisha hayo maombi???

Reply
admin May 10, 2022 - 6:20 am

Fata Tangazo linavoelekeza

Reply
Ahobokile Adam May 10, 2022 - 9:51 am

Adimin mm nimekosea email hadi sasa sijapata nywila nitasaidiwaje

haji lundenga May 8, 2022 - 7:58 am

Inakuwaje jinsi ya kuscan vyeti na kuvituma hapo kwa mfumo wa PDF

Reply
admin May 8, 2022 - 8:14 am

Unaweza kuvipiga pich avizur vyeti vyako afu ukatumia program kama cam scanner au Combined PDF kuscan vyeti vyako, au nenda stationary ukascan

Reply
Gabriel Andrew May 10, 2022 - 10:33 am

Jaman naomba mnisaidie natafuta fomu namba 1 siipati

Reply
Patrick Butaman May 8, 2022 - 11:02 am

Asante kwa maelekezo

Reply
Faraji mbaraka May 8, 2022 - 4:19 pm

Nimejaza fom na nimeiaplod na wazamini washa isaini na serikali ya mtaa washaisaini najalibu kuingi kwenye akaunt yangu kila nikiweka pasward na emel wananambia incorrect je napata user name na pasward Tena maaana kwenye emeli yangu sijatumiwa

Reply
admin May 8, 2022 - 7:04 pm

Sasa kama hujatumiwa password unaweka password ipi kolog in

Reply
PETRO May 9, 2022 - 3:28 am

Nimejaza taarifa zangu kwenye mfumo lakn naambiwa namba angu ya kidato Cha nne imeshatumika kuomba kazi ya sensa.ilihali password kwenye email yangu sijatumiwa.nifanyeje apo. Msaada jamaan

Reply
SIMONI LUCAS MOKIWA May 9, 2022 - 8:36 pm

Nami nina changamoto kama yako tafadhal kama utakuwa umepata ufumbuzi wa swala hili naomba msaada

Reply
Jesse jeremiah May 10, 2022 - 11:11 am

Nmejaza form ya maombi lakin kwenye kitufe cha pakua Kimefaint kwa hyo hakunajbu lolote lilotokea hata hyo password haijatumwa

king May 9, 2022 - 10:03 pm

unapojaza index mbele yake ongeza na mwaka wa kuhitim

Reply
Grace John May 17, 2022 - 10:47 am

Nimepata changamoto ya kupotelewa na cheti cha from four , ila nina cheti cha form six na kitambulisho cha chuo na namba ya Nida, je nitaweza kufanya maombi haya ??

Reply
Abas mponzi May 8, 2022 - 10:22 pm

Application for Karani wa sensa

Reply
Josepha Anatory Mtayangulwa May 8, 2022 - 11:33 pm

Mm nimeshajaza taarifa zote Ila nilipotaka kutuma wananiambia namba yangu imeshatumika kuomba maombi ya sensa kwa hiyo nimekwama sielewi nifanye nn

Reply
THOBIAS May 12, 2022 - 7:09 am

Nimekamilisha taarifa zote lakini sijapata form namba 1 pia vilevile namba ya mtihani wa kidato Cha nne wananiambia kua imetumika naomba msaada kupata form namba Moja nasijaletewa message yeyote kwenye email yangu

Reply
admin May 12, 2022 - 7:15 am Reply
PETRO May 9, 2022 - 3:28 am

Nimejaza taarifa zangu kwenye mfumo lakn naambiwa namba angu ya kidato Cha nne imeshatumika kuomba kazi ya sensa.ilihali password kwenye email yangu sijatumiwa.nifanyeje apo. Msaada jamaan

Reply
admin May 9, 2022 - 3:29 am

Angalia kwenye email ulotumiwa kama umetumiwa password

Reply
steven May 9, 2022 - 3:59 pm

passorwd me nimetumiwa ila kila nikiingiza inakataaa

Reply
Omari May 10, 2022 - 7:32 am

Nmekosea email …nikianza kujaza upya namba ya fomu four naambiwa ishatumika nafanyaje msaada please

Reply
SUZANA BENARD HENRY May 9, 2022 - 12:41 pm

nimekosea kujaza mwaka wa kuzaliwa, msaada

Reply
SIMONI LUCAS MOKIWA May 9, 2022 - 8:30 pm

Nimejaza fomu taarifa zote na nimetuma maombi lakini sijaletewa option ya kupakuwa fomu na 1 na katika email yangu hakujatumwa message yoyote, nikijaribu kwa mara ya nyingine naambiwa namba ya simu imeshatumika,namba ya nida imeshatumika,namba ya mtihani kidato cha nne imeshatumika, tafadhar nifanyeje?

Reply
admin May 10, 2022 - 4:44 am Reply
Sabra May 10, 2022 - 6:01 am

Kama huna namba ya NIDA huwez fanikisha Hilo zoezi??

Reply
hadija May 10, 2022 - 10:49 am

Nimeandika email wananiambia sio sahihi wakati ndo nahitumia

Reply
Emanuel May 10, 2022 - 1:48 pm

Nimeshindwa kupata fomu

Reply
ELIKANA SANGA May 10, 2022 - 3:07 pm

mm nnataka kujua Kama mtu ameombea kwao kusimamia zoez la sensa af yeye yuko mbali na usahili nasikia utafanyika hv karibuni, je Kama hatohudhuria kwenye usahili anaweza akapoteza nafas yake ? au Kuna namna ya kufuta maomb hayo na kutuma maombi sehemu nyingine?

Reply
Gerald May 10, 2022 - 3:21 pm

Mm nimejaza form vizue ila sijapata email hi

Reply
tina May 10, 2022 - 5:17 pm

sijapata fom nifanyaje

Reply
RICHARD NDOYA May 11, 2022 - 12:39 am

Mimi kila nikijaribu kuweka email yangu pamoja na mdhamini naambiwa invalid email ilihali ni emails zipo active hii changamoto na tatua vp asee.

Reply
admin May 11, 2022 - 5:23 am

Tumia email za gmail.com

Reply
SALOME NAONAWELU PETER May 11, 2022 - 4:08 am

Nimejaza form lakini sijapata mrejesho katika email yangu link au account nikayotumia kuirudisha form baada ya kuijaza na kugongewa muhuri na mtendaji .nitaipataje hiyo account ? Asante.

Reply
admin May 11, 2022 - 5:21 am

Cheki kwenye spam box ya email yako

Reply
Emma komba May 11, 2022 - 1:21 pm

Sijapata form no moja…..na password kwenye email yang…..nimejaza Kila kitu…msaada tafadhali

Reply
admin May 11, 2022 - 1:31 pm Reply
Mozee May 11, 2022 - 1:23 pm

Naomba kufahamu format nzuri ya kusevu page nzima moja baada ya kudownload

Reply
Lengiteng May 12, 2022 - 5:43 pm

Mim nashida ya password sijapa

Reply
Antonyantidius May 11, 2022 - 1:34 pm

Jaman Mimi naomba mnisaidie maomb yanatumiwa humu ila bdo cjajua kabsa please mnisaidiee

Reply
admin May 11, 2022 - 1:39 pm

Jiunge kwenye link apo juu, usaidiwe

Reply
Hilam May 15, 2022 - 7:45 am

jamani hat mm nasubilia password land sijapata tusaidieni jamani

Reply
Diana May 13, 2022 - 3:48 am

Mbona mimi siwezi kupata fomu namba moja ya sensa ?
Nimeshajaza taarifa zangu vizuri lakini siwezi kupakua nafanyaje?

Reply
Dioniz mathias May 13, 2022 - 6:23 am

Me na changamoto ya email yangu kuna herufi moja haionekani imefanya nisipate pasword naombeni maelekezo nifanye nn

Reply
Nkwaya May 14, 2022 - 6:51 pm

Sijajua nilibonyeza wapi maana sehemu ya kupakia fom namba 1 iliyosainiwa siioni na majibu yao ni kwamba maombi yanasubiri fom namba moja iliyosainiwa, msaada tafadhali

Reply
TITO JOSEPH May 13, 2022 - 7:40 am

mbona na kuna sehemu ya jinsia imeongezeka na inatakiwa ijazwe lakini sehemu ya kuhuisha haionekani?

Reply
khalid May 13, 2022 - 2:09 pm

The application module is so complicated why?

Reply
Oigen kamtawa May 13, 2022 - 3:06 pm

Nimetuma maombi ila fom sijapata wala password, nafanyaje,na kila nikijalibu tuma tena yanakataa

Reply
Hilam May 15, 2022 - 7:42 am

jamani hat mm nasubilia password lakn aitumie tusaidieni kwa hilo

Reply
Joseph Charles Budeba May 14, 2022 - 5:18 pm

Nimejaza taarifa zangu lakin form no1 yakisainiwa na mtendaji cjapata

Reply
Nkwaya May 14, 2022 - 6:56 pm

Sijajua nilibonyeza wapi maana sehemu ya kupakia fom namba 1 iliyosainiwa siioni na majibu yao ni kwamba maombi yanasubiri fom namba moja iliyosainiwa, msaada tafadhali

Reply
Katabalwa May 14, 2022 - 8:07 pm

Hlw vipi eti majibu yanatolew Kwa mfumo gani?

Reply
Hilam May 15, 2022 - 7:49 am

Jamani.nimetuma maombi lakn sijapata password na mkitaka kuludia kujaza taarifa upya wanasema barua pepe imeshatumika nfanyej jamani

Reply
Said juma May 17, 2022 - 10:35 am

Nimeshatuma maombi lakin nilisahau kuweka namb ya maombi baada ya kusainisha kwa mtendaj kwahiyo nafanyaje pale ambapo ningeandika namb yang ya maomb imekaa email yang Sasa tafanyaje

Reply

Leave a Comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.

Newsletter

Business Hours

  • Monday
    8:00 AM - 9:00 PM
  • Tuesday
    8:00 AM - 9:00 PM
  • Wednessday
    8:00 AM - 9:00 PM
  • Thursday
    8:00 AM - 9:00 PM
  • Friday
    8:00 AM - 7:00 PM

@2024 – All Right Reserved. Designed and Developed by assengaonline media