Advertisement

11 Comments
  1. Avatar Of Asha Saidi
    Asha saidi says

    Mbona sielewi kuhusu mkopo jamani tuoneane huruma jamani

  2. Avatar Of S0851/0074/2019
    S0851/0074/2019 says

    HESLB LOANS BOARD

  3. Avatar Of Deus Charles
    Deus charles says

    Naomba mnisaidie watu wa bodi ya mkopo kila nikitaka kuangalia status yangu ya mkopo naandikiwa “you’re connection is not private” ikiandika hvo haifunguki naomba kusaidiwa natakiwa kufanya nini

  4. Avatar Of Valentina
    Valentina says

    Jamani bodi ya mikopo tuoneane huruma ety tunaomba msaada tushajisajili vyuoni na mlisema tujisajili lakini mkopo haupo msaada jamanii tafadhali ninaomba🙏🙏

    1. Avatar Of Admin
      admin says

      Msikilizi Waziri Mkuu alivotoa MAAGIZO hapa bONYEZA HAPA

  5. Avatar Of
    Anonymous says

    Napendaa kuliza pia kwani majibuu ya kureapil Ni linii

    1. Avatar Of Admin
      admin says

      Tayari yashafungulia BOFYA HAPA

    2. Avatar Of Herry Charles
      Herry charles says

      Tutapata jamniii tusijariii tumemsikia viongozi wakisema tutapata woteeeeee

  6. Avatar Of
    Anonymous says

    Sielewi jinsi ya kuingiza kwenye account ya SIPA maana nimeambiwa niingie k
    wenye hiyo Account kuangalia majibu o

  7. Avatar Of Calvin Laurent
    Calvin laurent says

    Jamani kuna wengine mkopo hautoshi ukizingatia ni yatima uwezo ni mdogo sasa tunafanyaje kupata ongezeko la asilimia nyingine ili tusisome kwa ugumu

  8. Avatar Of Samwel Pallangyo
    Samwel pallangyo says

    Jaman mm nmeandikiwa wait for the final result nfanyaj

Leave A Reply

Your email address will not be published.

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.

This website uses cookies to improve your experience. We'll assume you're ok with this, but you can opt-out if you wish. Accept Read More